Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu. In this important work, Shaaban Robert gives guidelines for authors and poets on versification, but also on pre-requisites to good writing.
Robert: Kielezo cha Fasili [EPUB ebook]
购买此电子书可免费获赠一本!
格式 EPUB ● 网页 102 ● ISBN 9789987449941 ● 文件大小 0.3 MB ● 出版者 Mkuki na Nyota Publishers ● 市 Tanzania ● 国家 TZ ● 发布时间 2023 ● 版 1 ● 下载 24 个月 ● 货币 EUR ● ID 9182303 ● 复制保护 Adobe DRM
需要具备DRM功能的电子书阅读器