Jaerock Lee 
KESHENI NA KUOMBA (Swahili Edition) [EPUB ebook] 

Soporte

Tunapata Wakristo wengi wanatambua umuhimu wa maombi, lakini wengi wao hushindwa kupokea majibu ya Mungu kwa sababu hawajui namna ya kuomba kulingana na mapenzi ya Mungu. Nimevunjika moyo kuona na kusikia watu kama hao kwa muda mrefu, lakini ninafurahi sana kuchapisha kitabu kuhusu maombi chenye msingi wa zaidi ya miaka 20 ya kazi na kushuhudia moja kwa moja.

Ninatumaini kwamba hiki kitabu kidogo kitakuwa cha msaada mkubwa kwa kila msomaji katika mkutano na kumwona Mungu, na kuishi maisha ya maombi yenye uwezo. Naomba kila msomaji awe macho na aombe bila kukoma ili aweze kufurahia afya njema na kila kitu kimwendee vizuri kama roho yake inavyoendelea vizuri. Katika jina la Bwana wetu ninaomba!

€4.49
Métodos de pago
¡Compre este libro electrónico y obtenga 1 más GRATIS!
Formato EPUB ● Páginas 120 ● ISBN 9791126307524 ● Tamaño de archivo 3.8 MB ● Editorial Urim Books USA ● Publicado 2024 ● Edición 1 ● Descargable 24 meses ● Divisa EUR ● ID 9494724 ● Protección de copia Adobe DRM
Requiere lector de ebook con capacidad DRM

Más ebooks del mismo autor / Editor

137.321 Ebooks en esta categoría