Jaerock Lee 
KESHENI NA KUOMBA (Swahili Edition) [EPUB ebook] 

Apoio

Tunapata Wakristo wengi wanatambua umuhimu wa maombi, lakini wengi wao hushindwa kupokea majibu ya Mungu kwa sababu hawajui namna ya kuomba kulingana na mapenzi ya Mungu. Nimevunjika moyo kuona na kusikia watu kama hao kwa muda mrefu, lakini ninafurahi sana kuchapisha kitabu kuhusu maombi chenye msingi wa zaidi ya miaka 20 ya kazi na kushuhudia moja kwa moja.

Ninatumaini kwamba hiki kitabu kidogo kitakuwa cha msaada mkubwa kwa kila msomaji katika mkutano na kumwona Mungu, na kuishi maisha ya maombi yenye uwezo. Naomba kila msomaji awe macho na aombe bila kukoma ili aweze kufurahia afya njema na kila kitu kimwendee vizuri kama roho yake inavyoendelea vizuri. Katika jina la Bwana wetu ninaomba!

€4.49
Métodos de Pagamento
Compre este e-book e ganhe mais 1 GRÁTIS!
Formato EPUB ● Páginas 120 ● ISBN 9791126307524 ● Tamanho do arquivo 3.8 MB ● Editora Urim Books USA ● Publicado 2024 ● Edição 1 ● Carregável 24 meses ● Moeda EUR ● ID 9494724 ● Proteção contra cópia Adobe DRM
Requer um leitor de ebook capaz de DRM

Mais ebooks do mesmo autor(es) / Editor

139.820 Ebooks nesta categoria