F. Wayne Mac Leod 
A Fiery Prophet and a People of Wook – Swahili Edition [EPUB ebook] 
Mtazamo Wa Ibada Katika Maisha Na Ujumbe Wa Nabii Yeremia

支持

Nabii Wa Moto Na Watu Waliogeuka Kuni

Nabii wa moto, hivyo ndivyo Yeremia alivyokuwa. Ujumbe wake ulichoma wale waliomsikia akisema. Hakuna mtu anayependa kuchomwa moto. Kwa sababu hiyo, wasikilizaji wake walitaka kumuua. Wakamtupa gerezani. Hakuwa na marafiki wengi. Hakuwahi kuoa na hakuwa na watoto wa kuendeleza jina lake. Kwa miaka arobaini, hata hivyo, alitangaza neno la Bwana kwa uaminifu kwa watu ambao waligeuza migongo yao na kuziba masikio yao. Yeye ni mfano wa ibada ya kweli na uvumilivu. Utafiti huu unachunguza matukio muhimu na jumbe za mtu huyu mkuu wa Mungu.

€1.99
支付方式

表中的内容

DIBAJI

SURA YA 1 – SARAFU YA MJANE

SURA YA 2 – KUITWA KABLA YA KUZALIWA

SURA YA 3 – MIMI NI MTOTO TU

SURA YA 4 – ISHARA MBILI

SURA YA 5 – MANENO YA MOTO MIONGONI MWA WATU WALIOGEUKA KUNI

SURA YA 6 – HEKALU LA BWANA

SURA YA 7 – MAPIGO HALISI

SURA YA 8- MKANDA ULIOHARIBIKA

SURA YA 9- USIWAOMBEE WATU HAWA

SURA YA 10 – NABII MPWEKE

SURA YA 11- KWENYE NYUMBA YA MFINYANZI

SURA YA 12 – MTUNGI WA UDONGO ULIOVUNJIKA

SURA YA 13 SEDEKIA NA YEREMIA

SURA YA 14 WACHUNGAJI WASIOJALI NA MANABII WA UONGO

SURA YA 15 – NJAMA YA KUMUUA YEREMIA

SURA YA 16 – JUMBE ZINAZOKINZANA

SURA YA 17 – NYUMBA YA SHAFANI

SURA YA 18 – TAFUTA AMANI YA JIJI

SURA YA 19 – NIDHAMU YA BWANA

SURA YA 20- TENDA KILE UNACHOHUBIRI

SURA YA 21 – WATUMWA WALIORUDISHWA

SURA YA 22 – WAREKABI

SURA YA 23 – GOMBO LILILOCHOMWA

SURA YA 24 -UOGA JUU YA MAISHA YAKE

SURA YA 25 – KURUDI MISRI

SURA YA 26 – ZAMA WALA HAUTAZUKA TENA

关于作者

F. Wayne Mac Leod alizaliwa Sydney Mines, Nova Scotia, Canada na alikasoma Ontario Bible College, Chuo kikuu cha Waterloo na Ontario Theological Seminary. Aliwekewa mikono katika kanisa la Baptist Hespeler huko Cambridge, Ontario Mwaka 1991. Yeye na Mke wake Diana walitumika kama Wamishenari na shirika lililoitwa Africa Evangelical Fellowship katika Visiwa vya Mauritania na Reunion katika bahari ya hindi tangu mwaka 1985 – 1993 ambapo Wayne alikuwa anafanyakazi ya Maendeleo ya kanisa na kufundisha Viongozi. Kwa sasa anafanya huduma ya uandishi wa Vitabu na ni Mwanachana wa Action International Ministries.

购买此电子书可免费获赠一本!
格式 EPUB ● 网页 186 ● ISBN 9781927998595 ● 文件大小 0.2 MB ● 出版者 Light To My Path Book Distribution ● 发布时间 2024 ● 版 1 ● 下载 24 个月 ● 货币 EUR ● ID 10041001 ● 复制保护 Adobe DRM
需要具备DRM功能的电子书阅读器

来自同一作者的更多电子书 / 编辑

3,894 此类电子书