F. Wayne Mac Leod 
Someone Else’s Faith – Swahili Edition [EPUB ebook] 
Imani Uliyonayo Ni Ya Kwako Kabisa?

Ủng hộ

Imani Ya Mtu Winguine

Je, imani unayodai ni yako kweli?

Je, unajaribu kwenda mbinguni kwa nguvu za mtu mwingine?

Je, imani yako ni yako kweli au unaamini tu kile ambacho mtu mwingine alikuambia uamini?

Je, unajaribu kutumia karama za kiroho za mtu mwingine?

Watu wengine wanafuata Ukristo lakini hawana imani binafsi. Watu hawa huamini tu kile mtu mwingine anachowaambia kuamini. Kitabu hiki kitakupa changamoto ya kuuliza swali: Je, imani ninayokiri ni yangu kweli?

€1.99
phương thức thanh toán

Mục lục

1 – Kwenda Mbinguni kwa Mabega ya mtu Mwingine

2 – Kuishi Kwa Kiwango cha mtu Mwingine

3 – Kuamini Mapokeo ya Mtu Mwingine

4 – Kutumia Karama ya Mtu Mwingine

5 – Kudumisha Mapokeo ya mtu Mwingine

6 – Kutegemea Uwezo wa Mwingine

7 – Kuifanya Imani Iwe Yako

Giới thiệu về tác giả

F. Wayne Mac Leod alizaliwa Sydney Mines, Nova Scotia, Canada na alikasoma Ontario Bible College, Chuo kikuu cha Waterloo na Ontario Theological Seminary. Aliwekewa mikono katika kanisa la Baptist Hespeler huko Cambridge, Ontario Mwaka 1991. Yeye na Mke wake Diana walitumika kama Wamishenari na shirika lililoitwa Africa Evangelical Fellowship katika Visiwa vya Mauritania na Reunion katika bahari ya hindi tangu mwaka 1985 – 1993 ambapo Wayne alikuwa anafanyakazi ya Maendeleo ya kanisa na kufundisha Viongozi. Kwa sasa anafanya huduma ya uandishi wa Vitabu na ni Mwanachana wa Action International Ministries.

Mua cuốn sách điện tử này và nhận thêm 1 cuốn MIỄN PHÍ!
định dạng EPUB ● Trang 35 ● ISBN 9781927998496 ● Kích thước tập tin 0.1 MB ● Nhà xuất bản Light To My Path Book Distribution ● Được phát hành 2024 ● Phiên bản 1 ● Có thể tải xuống 24 tháng ● Tiền tệ EUR ● TÔI 10003585 ● Sao chép bảo vệ Adobe DRM
Yêu cầu trình đọc ebook có khả năng DRM

Thêm sách điện tử từ cùng một tác giả / Biên tập viên

3.894 Ebooks trong thể loại này