F. Wayne Mac Leod 
If Your Brother Sins – Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18 [EPUB ebook] 
15-17

Support

Hatupaswi kuyatelekeza matatizo kati ya waumini kama tunavyofanya kwa watoto wetu ndani ya familia zetu. Mara kwa mara hatutakubali kuona jinsi mambo yatakavyoendeshwa. Wakati mwingine tunatenda kwa hasira na kiburi. Haiba zetu hugongana. Watu huumizwa.Maandiko yamejaa mifano mingi ya migogoro kati ya waumini.

Bwana Mungu alijua kwamba jambo hili litaendelea kutokea, hivyo akatoa maelekezo ya jinsi gani tunaweza kulishughulikia jambo kama hili. Kwa upendeleo wa pekee hapa Yesu anatufundisha katika Mathayo 18:15-17. Katika kifungu hiki Yesu anatufundisha jinsi ya kuyashughulikia matatizo yanapotokea.

Mathayo 18 inatoa changamoto ya kuyashughulikia mambo kibinafsi yanapotokea katikati ya mahusiano yetu. Inaelekeza njia iliyo salama kwa ndugu walioanguka ili kupatana na kuwatia moyo waumini wachanga kiroho kuwatia moyo ndugu zao katika nyakati za matatizo.

€1.99
méthodes de payement

Table des matières

Didiaji

1 – Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

2 – Nenda Ukamwonyeshe Kosa Lake

3 – Mkiwa Wawili Peke Yenu

4 – Mashahidi Mmoja au Wawili

5 – Liambie Kanisa

6 – Kama Akidataa Kulisikiliza Kanisa

7 – Mtendee Kama Mpagani au Mtoza Ushuru

Achetez cet ebook et obtenez-en 1 de plus GRATUITEMENT !
Format EPUB ● Pages 70 ● ISBN 9781927998458 ● Taille du fichier 0.4 MB ● Maison d’édition Light To My Path Book Distribution ● Publié 2024 ● Édition 1 ● Téléchargeable 24 mois ● Devise EUR ● ID 9962471 ● Protection contre la copie Adobe DRM
Nécessite un lecteur de livre électronique compatible DRM

Plus d’ebooks du même auteur(s) / Éditeur

141 046 Ebooks dans cette catégorie