F. Wayne Mac Leod 
If Your Brother Sins – Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18 [EPUB ebook] 
15-17

สนับสนุน

Hatupaswi kuyatelekeza matatizo kati ya waumini kama tunavyofanya kwa watoto wetu ndani ya familia zetu. Mara kwa mara hatutakubali kuona jinsi mambo yatakavyoendeshwa. Wakati mwingine tunatenda kwa hasira na kiburi. Haiba zetu hugongana. Watu huumizwa.Maandiko yamejaa mifano mingi ya migogoro kati ya waumini.

Bwana Mungu alijua kwamba jambo hili litaendelea kutokea, hivyo akatoa maelekezo ya jinsi gani tunaweza kulishughulikia jambo kama hili. Kwa upendeleo wa pekee hapa Yesu anatufundisha katika Mathayo 18:15-17. Katika kifungu hiki Yesu anatufundisha jinsi ya kuyashughulikia matatizo yanapotokea.

Mathayo 18 inatoa changamoto ya kuyashughulikia mambo kibinafsi yanapotokea katikati ya mahusiano yetu. Inaelekeza njia iliyo salama kwa ndugu walioanguka ili kupatana na kuwatia moyo waumini wachanga kiroho kuwatia moyo ndugu zao katika nyakati za matatizo.

€1.99
วิธีการชำระเงิน

สารบัญ

Didiaji

1 – Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

2 – Nenda Ukamwonyeshe Kosa Lake

3 – Mkiwa Wawili Peke Yenu

4 – Mashahidi Mmoja au Wawili

5 – Liambie Kanisa

6 – Kama Akidataa Kulisikiliza Kanisa

7 – Mtendee Kama Mpagani au Mtoza Ushuru

ซื้อ eBook เล่มนี้และรับฟรีอีก 1 เล่ม!
รูป EPUB ● หน้า 70 ● ISBN 9781927998458 ● ขนาดไฟล์ 0.4 MB ● สำนักพิมพ์ Light To My Path Book Distribution ● การตีพิมพ์ 2024 ● ฉบับ 1 ● ที่สามารถดาวน์โหลดได้ 24 เดือน ● เงินตรา EUR ● ID 9962471 ● ป้องกันการคัดลอก Adobe DRM
ต้องใช้เครื่องอ่านหนังสืออิเล็กทรอนิกส์ที่มีความสามารถ DRM

หนังสืออิเล็กทรอนิกส์เพิ่มเติมจากผู้แต่งคนเดียวกัน / บรรณาธิการ

141,045 หนังสืออิเล็กทรอนิกส์ในหมวดหมู่นี้