F. Wayne Mac Leod 
If Your Brother Sins – Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18 [EPUB ebook] 
15-17

Wsparcie

Hatupaswi kuyatelekeza matatizo kati ya waumini kama tunavyofanya kwa watoto wetu ndani ya familia zetu. Mara kwa mara hatutakubali kuona jinsi mambo yatakavyoendeshwa. Wakati mwingine tunatenda kwa hasira na kiburi. Haiba zetu hugongana. Watu huumizwa.Maandiko yamejaa mifano mingi ya migogoro kati ya waumini.

Bwana Mungu alijua kwamba jambo hili litaendelea kutokea, hivyo akatoa maelekezo ya jinsi gani tunaweza kulishughulikia jambo kama hili. Kwa upendeleo wa pekee hapa Yesu anatufundisha katika Mathayo 18:15-17. Katika kifungu hiki Yesu anatufundisha jinsi ya kuyashughulikia matatizo yanapotokea.

Mathayo 18 inatoa changamoto ya kuyashughulikia mambo kibinafsi yanapotokea katikati ya mahusiano yetu. Inaelekeza njia iliyo salama kwa ndugu walioanguka ili kupatana na kuwatia moyo waumini wachanga kiroho kuwatia moyo ndugu zao katika nyakati za matatizo.

€1.99
Metody Płatności

Spis treści

Didiaji

1 – Kama Ndugu Yako Akitenda Dhambi

2 – Nenda Ukamwonyeshe Kosa Lake

3 – Mkiwa Wawili Peke Yenu

4 – Mashahidi Mmoja au Wawili

5 – Liambie Kanisa

6 – Kama Akidataa Kulisikiliza Kanisa

7 – Mtendee Kama Mpagani au Mtoza Ushuru

Kup ten ebook, a 1 kolejny otrzymasz GRATIS!
Format EPUB ● Strony 70 ● ISBN 9781927998458 ● Rozmiar pliku 0.4 MB ● Wydawca Light To My Path Book Distribution ● Opublikowany 2024 ● Ydanie 1 ● Do pobrania 24 miesięcy ● Waluta EUR ● ID 9962471 ● Ochrona przed kopiowaniem Adobe DRM
Wymaga czytnika ebooków obsługującego DRM

Więcej książek elektronicznych tego samego autora (ów) / Redaktor

138 013 Ebooki w tej kategorii