Rev. David R. Wallis 
Hatua za Ukuaji wa Kiroho [EPUB ebook] 

Soporte

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:


  • Nini maana ya kuokolewa

  • Umuhimu wa Neno la Mungu

  • Ubatizo wa maji, agizo

  • Maombi, kipaumbele

  • Umuhimu wa ushirika

  • Umuhimu wa neema ya Mungu

  • Ukombozi kutoka katika vifungo

  • Kujawa na Roho Mtakatifu

Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

€3.99
Métodos de pago
¡Compre este libro electrónico y obtenga 1 más GRATIS!
Formato EPUB ● ISBN 9781596658738 ● Tamaño de archivo 2.5 MB ● Editorial Zion Christian Publishers ● Publicado 2021 ● Descargable 24 meses ● Divisa EUR ● ID 8229969 ● Protección de copia sin

Más ebooks del mismo autor / Editor

23.129 Ebooks en esta categoría