Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
- Nini maana ya kuokolewa
- Umuhimu wa Neno la Mungu
- Ubatizo wa maji, agizo
- Maombi, kipaumbele
- Umuhimu wa ushirika
- Umuhimu wa neema ya Mungu
- Ukombozi kutoka katika vifungo
- Kujawa na Roho Mtakatifu
Bu e-kitabı satın alın ve 1 tane daha ÜCRETSİZ kazanın!
Biçim EPUB ● ISBN 9781596658738 ● Dosya boyutu 2.5 MB ● Yayımcı Zion Christian Publishers ● Yayınlanan 2021 ● İndirilebilir 24 aylar ● Döviz EUR ● Kimlik 8229969 ● Kopya koruma olmadan