Rev. David R. Wallis 
Hatua za Ukuaji wa Kiroho [EPUB ebook] 

Ondersteuning

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:


  • Nini maana ya kuokolewa

  • Umuhimu wa Neno la Mungu

  • Ubatizo wa maji, agizo

  • Maombi, kipaumbele

  • Umuhimu wa ushirika

  • Umuhimu wa neema ya Mungu

  • Ukombozi kutoka katika vifungo

  • Kujawa na Roho Mtakatifu

Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

€3.99
Betalingsmethoden
Koop dit e-boek en ontvang er nog 1 GRATIS!
Formaat EPUB ● ISBN 9781596658738 ● Bestandsgrootte 2.5 MB ● Uitgeverij Zion Christian Publishers ● Gepubliceerd 2021 ● Downloadbare 24 maanden ● Valuta EUR ● ID 8229969 ● Kopieerbeveiliging zonder

Meer e-boeken van dezelfde auteur (s) / Editor

23.129 E-boeken in deze categorie