Rev. David R. Wallis 
Hatua za Ukuaji wa Kiroho [EPUB ebook] 

Stöd

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:


  • Nini maana ya kuokolewa

  • Umuhimu wa Neno la Mungu

  • Ubatizo wa maji, agizo

  • Maombi, kipaumbele

  • Umuhimu wa ushirika

  • Umuhimu wa neema ya Mungu

  • Ukombozi kutoka katika vifungo

  • Kujawa na Roho Mtakatifu

Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

€3.99
Betalningsmetoder
Köp den här e-boken och få 1 till GRATIS!
Formatera EPUB ● ISBN 9781596658738 ● Filstorlek 2.5 MB ● Utgivare Zion Christian Publishers ● Publicerad 2021 ● Nedladdningsbara 24 månader ● Valuta EUR ● ID 8229969 ● Kopieringsskydd utan

Fler e-böcker från samma författare (r) / Redaktör

23 129 E-böcker i denna kategori