Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
- Nini maana ya kuokolewa
- Umuhimu wa Neno la Mungu
- Ubatizo wa maji, agizo
- Maombi, kipaumbele
- Umuhimu wa ushirika
- Umuhimu wa neema ya Mungu
- Ukombozi kutoka katika vifungo
- Kujawa na Roho Mtakatifu
购买此电子书可免费获赠一本!
格式 EPUB ● ISBN 9781596658738 ● 文件大小 2.5 MB ● 出版者 Zion Christian Publishers ● 发布时间 2021 ● 下载 24 个月 ● 货币 EUR ● ID 8229969 ● 复制保护 无