Rev. David R. Wallis 
Hatua za Ukuaji wa Kiroho [EPUB ebook] 

Dukung

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:


  • Nini maana ya kuokolewa

  • Umuhimu wa Neno la Mungu

  • Ubatizo wa maji, agizo

  • Maombi, kipaumbele

  • Umuhimu wa ushirika

  • Umuhimu wa neema ya Mungu

  • Ukombozi kutoka katika vifungo

  • Kujawa na Roho Mtakatifu

Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

€3.99
cara pembayaran
Beli ebook ini dan dapatkan 1 lagi GRATIS!
Format EPUB ● ISBN 9781596658738 ● Ukuran file 2.5 MB ● Penerbit Zion Christian Publishers ● Diterbitkan 2021 ● Diunduh 24 bulan ● Mata uang EUR ● ID 8229969 ● Perlindungan salinan tanpa

Ebook lainnya dari penulis yang sama / Editor

23,129 Ebooks dalam kategori ini